Mwimbaji, rapper, producer na muigizaji Lauryn Hill kutoka Marekani ameachiliwa huru baada ya kutumikia kifungo cha miezi mitatu jela kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.
Laurin Hill (38) ambaye alifahamika zaidi kupitia kundi la Fugees ametoka jela jana Ijumaa (October 4) lakini atakuwa kwenye probation ya mwaka mmoja ikiwa inajumuisha miezi mitatu ya kifungo cha nyumbani.
Kwa mujibu wa Washington Post, wakili wake amesema Hill aliyehukumiwa kwenda jela mwezi (July) ameachiliwa huru siku chache kabla ya kifungo kuisha kutokana na sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na tabia nzuri aliyoionesha.
Hill, ambaye alianza kuimba na kundi la Fugees katika miaka ya (1990) kabla ya kutoa album yake ya solo “Miseducation” mwaka (1998), alikutwa na hatia mwaka jana kwa kushindwa kulipa kodi ya zaidi ya $ 1,800,000 alizozichuma kuanzia mwaka (2005) hadi (2007).
Post Top Ad
Your Ad Spot
Sunday, October 6, 2013
Home
Unlabelled
HATIMAYE MWIMBAJI LAURYN HILL ATOKA JELA BAADA YA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA MIEZI MTATU
HATIMAYE MWIMBAJI LAURYN HILL ATOKA JELA BAADA YA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA MIEZI MTATU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment