Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, October 10, 2013

MAREKANI YAANZA KUTUMIA NOTI MPYA ZA DOLA 100 KUANZIA JANA.

Kama wewe ni mfanyabiashara au ni mtu wa kusafiri sana na katika shughuli zako unatumia sana dola za Marekani usije kushangaa kukutana na noti tofauti ya $ 100 sababu kuanzia jana Jumanne (October 9) Marekani imeanza kutumika noti mpya ya dola 100.
dola mpya-1
Hii ndio noti mpya ya $100 kwa mbele
dola mpya-2
Kwa nyuma
Maafisa wa serikali ya Marekani wamesema noti mpya za $ 100 zimetengenezwa maalum kukabiliana na ongezeko la noti bandia, lakini wameongeza kuwa noti za sasa zilizo katika mzunguko bado zitaendelea kutumika.
SOURCE: VOA NEWS

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages