Kama wewe ni mfanyabiashara au ni mtu wa kusafiri sana na katika shughuli zako unatumia sana dola za Marekani usije kushangaa kukutana na noti tofauti ya $ 100 sababu kuanzia jana Jumanne (October 9) Marekani imeanza kutumika noti mpya ya dola 100.
Hii ndio noti mpya ya $100 kwa mbele
Kwa nyuma
Maafisa wa serikali ya Marekani wamesema noti mpya za $ 100 zimetengenezwa maalum kukabiliana na ongezeko la noti bandia, lakini wameongeza kuwa noti za sasa zilizo katika mzunguko bado zitaendelea kutumika.
SOURCE: VOA NEWS
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, October 10, 2013
Home
Unlabelled
MAREKANI YAANZA KUTUMIA NOTI MPYA ZA DOLA 100 KUANZIA JANA.
MAREKANI YAANZA KUTUMIA NOTI MPYA ZA DOLA 100 KUANZIA JANA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment