Mwaka 2014 Diamond Platnumz amefanikiwa kuifungua vizuri milango ya kimataifa ambayo matunda tayari yameanza kuonekana. Tumeshuhudia akiwa nominated katika tuzo mbalimbali za kimataifa, na baada ya kushinda tuzo ya AFRIMMA hivi karibuni Platnumz ameshinda tuzo nyingine nchini Burundi kupitia hit yake ya ‘Number 1’.
Platnumz amewashukuru mashabiki, wadau na vyombo vya habari kwa kumuwezesha kushinda tuzo hiyo:
“Asante sana kwa Media wadau na Mashabiki zangu pendwa kwa kuifanya Number One kuwa Nyimbo Bora ya East Africa ya Mwaka kwenye tunzo za #TTTMAwards nchini Burundi…..”
Hizi (hapo chini) ni Tuzo ambazo tayari Nasib Abdul amejishindia katika miaka michache ya career yake ya muziki.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Friday, August 15, 2014
Home
EVENTS
LIFE OF CELEBRITIES
WHAT
DIAMOND PLATNUMZ ASHINDA TUZO YA NYINGINE KUTOKA BURUNDI. TAZAMA HAPA
DIAMOND PLATNUMZ ASHINDA TUZO YA NYINGINE KUTOKA BURUNDI. TAZAMA HAPA
Tags
EVENTS#
LIFE OF CELEBRITIES#
WHAT#
Share This
About Unknown
WHAT
Labels:
EVENTS,
LIFE OF CELEBRITIES,
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment