Mwanamke mmoja nchini Marekani ameuawa na mwanae wa kiume mwenye umri wa miaka miwili baada ya mtoto huyo kuishika bastola iliyokuwa kwenye mkoba wake na kujifyatua risasi kwa bahati mbaya.
Tukio hilo limemhusisha mwanamke mwenye miaka 29, Veronica J. Rutledge mkazi wa Blackfoot, Idaho nchini Marekani.
Kwa mujibu wa polisi, mtoto huyo alikuwa amekaa kwenye toroli la super market ya Walmart na kuingiza mkono kwenye pochi ya mama yake ambapo aliishika bastola iliyolipuka. Mwanamke huyo alikuwa akifanya shopping kwenye supermarket hiyo akiwa na wanae wanne.
Tukio hilo limenaswa kwenye video za ukaguzi kwenye supermarket hiyo na baadhi ya wafanyakazi walilishuhudia. Supermarket hiyo ilifungwa baada ya tukio hilo.
Chanzo: Daily Mail
Post Top Ad
Your Ad Spot
Friday, January 2, 2015
HUYU NDIYE MTOTO WA MIAKA 2 ALIYEMUUA MAMA YAKE KWA BASTOLA. SOMA HAPA
Tags
EVENTS#
WHAT#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment