Staa wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Naseeb Abdul
‘Diamond Platinumz’ amevuta mkoko wa Kijanja
wenye thamani ya ‘mkwanja wa Kibongo Milioni 60 keshi.
Akizungumza muda mfupi baada ya
Prado TX kutoka kwa wakala aliyekuwa akishughulikiwa
mpango mzima wa kuingia kwake hapa Bongo, Diamond
alifunguka kuwa alikuwa na mpango wa kuvuta mkoko ‘dizaini’
hiyo kitambo lakini kuna mambo kadhaa yakawa yanakwamisha
.report sponsored by:Is life style.com
‘Diamond Platinumz’ amevuta mkoko wa Kijanja
wenye thamani ya ‘mkwanja wa Kibongo Milioni 60 keshi.
Akizungumza muda mfupi baada ya
kupokea ‘dinga’ hiyo aina ya Land Cruiser
Prado TX kutoka kwa wakala aliyekuwa akishughulikiwa
mpango mzima wa kuingia kwake hapa Bongo, Diamond
alifunguka kuwa alikuwa na mpango wa kuvuta mkoko ‘dizaini’
hiyo kitambo lakini kuna mambo kadhaa yakawa yanakwamisha
.report sponsored by:Is life style.com

Comments
Post a Comment