DMX AFUNGUKA KUHUSIANA NA DISS INAYOMUHUSU YEYE PAMOJA NA FREDRO STARR


Dmx ni moja kati ya wasanii ambao kiukweli wana hits na ngoma kali pande za state hata pia huku bongo land.Kupitia katika vyombo vya habari viliweza kufumtia waya mtu mzima Dmx afunguke  kuhusiana na diss ambayo kiukweli ime headline sasa katika mitandao yetu.Dmx aliweza kufunguka na kukubali kwamba ndiyo diss ipo kwani yeye alipata diss hiyo baada ya kuona katika Youtube.com msanii huyo akipiga freestyle sasa dzain zile lyrics bhana zinamuhusu mtu mzima Dmx.Sasa yeye Dmx alidiliki na kusema kwamba Fredro starr kwanza ni mdogo kwangu katika upande wa muziki kwa hiyo ajipange, pili ni fupi kwahiyo level hizi za kwangu asiguse kabisa.hayo ndiyo  maneno ya Dmx alifunguka na kusema hivyo.

Comments