MUONEKANO WA MTOTO WA MH. JOSEPH MBILINYI { SUGU}


Tunakumbuka kwamba Mh.Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu ambaye ni mbunge wa mbeya mjini siku ya jumatano alifanikiwa kupata mtoto wa kike na kuamua kumpa jina la Sasha Desderia J. Mbilinyi.Sasa basi picha hii ndiyo muonekano wa mtoto wake toka azaliwe siku ya jumatano iliyopita.

Comments