UJUMBE NILIOUONA KWA SINTAH UKIWA UMEAMBATANA NA PICHA YA AUNTY EZEKIEL NA MUMEWE NI''KIPENDACHO ROHO HULA NYAMA ILIYOOZA''
watu kuweni kama mimi the one n only unstoppable in Tanzania nina slogan yangu i cant always be nice that’s how people take advantage of me ndio maana nina kuwa na roho ngumu tuu ninamchana kila mmoja anayekosea na sina upendeleo na ufagio na mtu.
kipendacho roho hula nyama mbichi na mumuwacheee kabisa kwahili nitamtea mpaka mwisho.
one n only jlo EA, jeshi la mtu mmoja, kubwa la maadui
nani amenunaaaa nani amenunaaaa
nani amenunaaaa nani amenunaaaa
Comments
Post a Comment