Msanii wa filamu za maigizo nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo amerudishwa rumande baada ya kusomewa kesi yake mpya ya kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, Steven Kanumba. Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam, Agustina Mmbando alifunga shauri hilo katika mahakama hiyo na kusema kesi hiyo sasa inahamia mahakama Kuu kwa kuwa mahakama yake haina mamlaka ya kuisikiliza.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Friday, December 21, 2012
Home
Unlabelled
KESI YA LULU YAHAMIA MAHAKAMA KUU
KESI YA LULU YAHAMIA MAHAKAMA KUU
Msanii wa filamu za maigizo nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo amerudishwa rumande baada ya kusomewa kesi yake mpya ya kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, Steven Kanumba. Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam, Agustina Mmbando alifunga shauri hilo katika mahakama hiyo na kusema kesi hiyo sasa inahamia mahakama Kuu kwa kuwa mahakama yake haina mamlaka ya kuisikiliza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment