Zimepita siku chache tu baada ya Diamond ku post picha akiwa amelala na
Penny mpaka kupelekea watu wengi kuzungumzia picha hiyo ambayo ilileta
utata,sasa nyingine mpya hii hapa kutoka kwa Wema Sepetu akiwa na CK.

Katika picha iliyowekwa kwenye ukurasa wa Facebook wa msichana aitwaye Skyner Ally kuna picha inayomuonesha Diamond akiwa amelala usingizi wa pono na msichana anayedaiwa kuwa ni mtangazaji wa DTV, Penny Mungilwa aka Vj Penny.
Hata hivyo tulipowasiliana na Penny alisema hiyo ni picha iliyopigwa walipokuwa kwenye scene ya movie wanayoigiza pamoja ambayo amesema hana uhakika lini itatoka!
Penny na Diamond ndani ya movie?????...!!? Ngoja tuisubiri hiyo movie

Comments
Post a Comment