Hii
ndio Ranch iliyokuwa mali ya marehemu Michael Jackson ambayo kwa mujibu
a tetesi zilizopo hivi sasa, Baba na Mama Blue Ivy - Beyonce na Jay Z
wanataka kulinunua kwaajili ya kufanya makazi binafsi pamoja na kuwekeza
miradi kadhaa.
Ranch
hii maarufu inayofahamika kama Neverland lina ukubwa wa hekta 2500 na
lipo nnje kidogo ya Jiji la Los Angeles Marekani na thamani ya dola
milioni 100 zaidi ya shilingi bilioni 160 za kitanzania.
 |
| Jay Z na Beyonce |
Hata hivyo bado hakuna uthibitisho rasmi mpaka sasa kutoka upande wa pili kama kuna mpango wa kuuza 'Neverland'.
 |
| Jay Z na Michael Jackson |
Comments
Post a Comment