Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Sunday, March 17, 2013

JOKATE AKITANGAZA COUNTDOWN JANA NDANI YA CHOICE FM


 Kama wewe ni shabiki wa Jokate ningependa kukufahamisha  kwamba siku ya jana Jumamosi mwanadada huyo alikuwa akitangaza kipindi cha The Countdown cha nyimbo 20 kupitia Choice Fm ya Dar es Salaam.
Kipindi hicho huruka kuanzia saa tisa mchana mpaka saa kumi na moja jioni.Choice Fm husikika Dar es Salaam pekee kupitia 102.5 FM na kwa njia ya internet.
Hizi ni baadhi za picha ambazo zinaonyesha jinsi alivyokuwa studio...!!!!!  Choice Fm





                                              

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages