Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, March 25, 2013

PICHA :JINSI KAJALA ALIVYOHUKUMIWA KIFUNGO LAKINI AKAKIEPUKA KWA KULIPIWA FAINI YA MIL 13

Kajala akipandishwa kizimbani kusomewa hukumu.
Kajala na mumewe, Faraja Chambo wakisubiri hukumu yao.…

Kajala akipandishwa kizimbani kusomewa hukumu.
Kajala na mumewe, Faraja Chambo wakisubiri hukumu yao.
Akitafakari.
Akitokwa na machozi baada ya kuhukumiwa. Baba Kajala (kushoto) akishauriana jambo na wasanii wa filamu na maswahiba wa mwanaye.
MSANII Kajala Masanja leo ameachiwa huru baada ya kulipiwa faini ya shilingi milioni 13 na Wema Sepetu. Kajala alikuwa anakabiliwa na kesi ya kuuza nyumba iliyowekwa kizuizini na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) baada ya mumewe, Faraji Agustino kukumbwa na tuhuma za kutakatisha fedha haramu. Katika kesi hiyo, Kajala alihukumiwa kwenda jela miaka 5 au kulipa faini ya shilingi milioni 13. Faraji yeye amehukumiwa kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya shilingi milioni 213.

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages