Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, May 30, 2013

PICHA ZA WATANZANIA WAISHIO AFRIKA YA KUSINI WANAOFATILIA TARATIBU ZA KULETWA MWILI WA MAREHEMU MANGWEA

Hizi ni picha zinazowaonesha Watanzania waliopo nchini Afrika Kusini wakiendelea na taratibu za kuuleta mwili wa marehemu Albert Mangwea nchini.
1 (600x450)
2 (600x450)
3 (600x450)
4 (600x450)
Watanzania waliokusanyika kuangalia utaratibu wa kusafirisha mwili wa marehemu Albert Mangwea
5 (600x450)
Millard Ayo akifanya interview na promota Mtanzania ambae alikua tayari na kazi
ya show tatu za ziada ya Ngwea kabla hajafariki, zilipangwa kufanyika siku kadhaa
zijazo.

6 (600x450)
6 (600x450)
8 (600x450)
9 (600x450)
10 (600x450)

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages