Jana (June 5) mtangazaji wa kipindi cha asubuhi “Today Morning” kupitia CBS aitwaye Gayle King ambaye pia ni rafiki wa familia ya Carter, amesema alizungumza na team ya Beyonce Jumanne (June 4) ambao wamethibitisha kuwa Queen Bey hana ujauzito kwa sasa na kusema “ni kweli yeye na Jay-Z wanahitaji sana kupata mtoto wa pili wakati muafaka utakapofika, na wakati ukifika watatoa taarifa”.
Mtazame Gayle alipokuwa anatoa taarifa hizo kupitia kipindi cha “Today Morning”