Mshindi wa tuzo 3 za KTMA 2013 rapper Kala Jeremiah ni kati ya wasanii wanaotumia vizuri mitandao ya kijamii katika kujiweka karibu na wadau/fans na kuzitangaza kazi zao. Jana (June 28) Kala alitangaza ulaji kwa fans wake wa facebook watakaoshinda shindano dogo alilolitoa.
Jana ukurasa wa facebook wa hit maker wa ‘Dear God’ Kala ulifanikiwa kufikisha likes 33,333 na alipost picha ya page yake ikionesha idadi hiyo na kuwashukuru mashabiki walio-like mpaka kuifikia idadi hiyo, kisha akaahidi yeyote atakayefanikiwa kupiga picha kama hiyo pale idadi ya likes za page yake itakapofikia 44,444 na kisha kumtumia picha hiyo katika inbox yake atampatia zawadi ya Tsh 100,000 na kumtangaza kwenye ukurasa huo.
Hiki ndicho alichoandika
Hizi ni juhudi binafsi zinazotakiwa kufanywa na msanii ili kuhakikisha anajenga ukaribu na wale anaowategemea kusupport kazi zake, japo mpaka leo kuna wasanii ambao hawana akaunti facebook wala twitter, changamoto!
Post Top Ad
Your Ad Spot
Saturday, June 29, 2013
Home
Unlabelled
HILI NDILO SHINDANO ALILOLITANGAZA KALA JEREMIAH KUPITIA PAGE YAKE YA FACEBOOK
HILI NDILO SHINDANO ALILOLITANGAZA KALA JEREMIAH KUPITIA PAGE YAKE YA FACEBOOK
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.