Wengi walitarajia kuwa mtoto wa Kanye West na Kim Kardashian aliyezaliwa (June 15) huenda angepewa jina linaloanzia na herufi ‘K’ kama ulivyo utamaduni wa familia ya Kardashians, well! Speculations hizo zilikuwa zimeelekea ‘KUSINI’ wakati ukweli umekuja kutokea ‘KASKAZINI’, utanielewa sasa hivi tu.
Kwa mujibu wa TMZ mtoto huyo wa kike wa mastaa hao amepewa jina la mwelekeo, yaani namaanisha kama jina la pili la baba yake ni Magharibi ‘West’ sasa yeye anaitwa Kaskazini ‘NORTH’.
Naomba nimtambulishe vizuri, mtoto wa kike wa Kanye West na Kim Kardashian amepewa jina la ‘NORTH WEST’ kwa mujibu wa birth certificate kutoka Cedars-Sinai hospital.
Lakini chanzo kingine kilichokaribu kimeuambia mtandao wa USWeekly kuwa couple hao tayari wamempatia mwanao nickname, atakuwa anaitwa ‘NORI’ kama kifupi cha North.
So Kim mwenye miaka 32 amepata a.k.a nyingine ambayo ni mama ‘North’ au mama ‘Nori’. Haijajulikana bado sababu za Kanye na Kim kuchagua jina la North.
Wewe unalionaje jina la mtoto huyo?
Post Top Ad
Your Ad Spot
Friday, June 21, 2013
Home
Unlabelled
MTOTO WA KIM KARDASHIAN NA KANYE WEST ANAITWA......!!(ANGALIA JINA)
MTOTO WA KIM KARDASHIAN NA KANYE WEST ANAITWA......!!(ANGALIA JINA)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.