Habari njema kwa mashabiki wa soka nchini. Kwa mujibu wa viwango vya soka vya duniani vilivyotolewa leo na shirikisho la soka duniani, FIFA, Tanzania imepanda kwa nafasi 7 na kukamata nafasi ya 109.
Mambo si mazuri kwa Kenya ambao wameshuka kwa nafasi moja na kukamata nafasi ya 123 huku Uganda ikikamata nafasi ya 93 baada ya kushuka kwa nafasi mbili.
Kwa upande wa nafasi za juu, nafasi za tatu zinaendelewa kushikiliwa na Ujerumani (1), Argentina (2) na Croatia (3).
Nafasi ya mwisho (207) imekamatwa na visiwa vya Turks na Caicos.
Ingia HAPA kusoma zaidi.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Thursday, June 6, 2013
Home
Unlabelled
TANZANIA YAPANDA NAFASI 7 KWENYE VIWANGO VYA FIFA,YASHIKA NAFASI YA 109
TANZANIA YAPANDA NAFASI 7 KWENYE VIWANGO VYA FIFA,YASHIKA NAFASI YA 109
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.