Tukio hilo lililovuta hisia za wakazi wengi wa mji huo, lilitokea baada ya jamaa huyo kujitolea kumsaidia mama mmoja muuza supu aliyevamiwa na kundi kubwa la nyuki kijiweni kwake. Akisimulia tukio hilo, mwanaume huyo aitwaye Eric Mnyesi amesema kwanza alishangaa iweje nyuki wafuate vitu vyenye chumvi wakati wanajulikana kwa kupenda zaidi sukari.
Aliwafukuza nyuki hao kwa kuwasha makaratasi lakini nyuki hao walimng’ata na kumsababishia si tu maumivu makali mwilini bali alijikuta akipoteza sehemu zake za siri.
Source KTN
Tukio hilo lililovuta hisia za wakazi wengi wa mji huo, lilitokea baada ya jamaa huyo kujitolea kumsaidia mama mmoja muuza supu aliyevamiwa na kundi kubwa la nyuki kijiweni kwake. Akisimulia tukio hilo, mwanaume huyo aitwaye Eric Mnyesi amesema kwanza alishangaa iweje nyuki wafuate vitu vyenye chumvi wakati wanajulikana kwa kupenda zaidi sukari.
Aliwafukuza nyuki hao kwa kuwasha makaratasi lakini nyuki hao walimng’ata na kumsababishia si tu maumivu makali mwilini bali alijikuta akipoteza sehemu zake za siri.
Source KTN