Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, July 30, 2013

WANANCHI MIL 3 WAJITOKEZA UFUKWE WA BAHARI WA COPACABANA KUUDHURIA MISA YA MWISHO YA PAPA FRANCIS HUKO BRAZIL

Papa Francis alikuwa na ziara nchini Brazil katika hafla ya ‘World Youth Day 2013’ kuanzia (July 23 hadi 28) ambayo huwa ni tukio la kimataifa la kanisa la Roman Catholic kila mwaka.
brazil-6
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Vatican zaidi ya watu million tatu walijitokeza katika misa ya kukamilisha ziara ya kiongozi huyo mkubwa wa kanisa Katoliki duniani. Misa hiyo iliyohudhuriwa na kila aina ya watu ilifanyika kwenye ufukwe wa Copacabana katika mji mkuu wa Brazil Rio de Janeiro.
brazil-10
Pamoja na hali mbaya ya hewa iliyotanguliwa na mvua kunyesha masaa machache kabla ya misa hiyo haikuwazuia watu kukusanyika kwa wingi katika ufukwe huo.
Tazama picha
brazil-1
brazil-2
brazil-3
brazil-4
brazil-5
brazil-7
brazil-8
brazil-9
brazil-11
SOURCE: DAILY MAIL

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages