Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Wednesday, August 28, 2013

HII NDIO TWEET YA FUSE ODG ALIYO ITWEET KUHUSIANA NA SHOW YAKE YA TANZANIA.

September 7 mwaka huu jiji la Dar es Salaam litachezeshwa mtindo maarufu wa uchezaji muziki wenye asili ya Ghana, Azonto na staa wa nchi hiyo aishie Uingereza, Fuse ODG.
odg
Hitmaker huyo wa Azonto na Antenna anatarajia kufanya show hiyo kwenye viwanja vya Ustawi wa Jamii ambapo atasindikizwa na wasanii wa nyumbani wakiwemo Vannesa Mdee, Mabeste, Mrap, Deddy, Gosby, Wakazi, H Baba, Banana Zoro, Wakali Dancers, Lulu (BongoMovie), Aika na Nah Reel na wengine.
Leo msanii huyo ametweet:

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages