Shangwe hizo zilianza kwa burudani mbalimbali kutoka kwa Serengeti Super Nyota na baada ya hapo wakazi hao wa Singida walipata burudani kutoka kwa zaidi ya wasanii 20 hadi saa 9 usiku show ilipomalizika.
Abdul Kiba
Amini akifanya yake jukwaani
B12 akiwana Dj Zero
Baba Levo akiwa jukwaani
Chege akitumbuiza
Godzilla jukwaani
Linah akiwaonesha wakazi wa Singida ‘asset’ aliyoipata kutoka kwa mama yake
Madee akiimba na mashabiki wimbo wa Sio Mimi aka Pombe Yangu
Madee
Makomando wakicheza style yao mpya ya Kibaba baba
Makomando katika pozi kabla ya kupanda jukwaani
Adam Mchomvu alipata nafasi ya kuimba pia na mashabiki
Nay Wa Maitego akiwapa mambo wapenzi wa burudani wa Singida
Nay wa Mitego akiwasikilizia mashabiki
Peter Msechu juu ya stage
Recho na Msami
Recho akicheza na Msami
Stamina na Young Killer wakitumbuiza wimbo wao wa pamoja Jana na Leo
Stopper
Temba akitumbuiza
Young Killer akiwasha moto
Neyle
Singida Motel palikuwa hapatoshi
Singida Motel palifunga haswaaa
Shilole akiwa na hisia kali jukwaani, mhhh!
Shilole stejini
Cassim Mganga
Ommy Dimpoz aka Mzee wa Tupogo
Ommy Dimpoz akiimba na shabiki
Chege na Temba
Juma Nature
Mabaga Fresh nao walipata shavu
Mwamba wa Kaskazini, Joh Makini
Wakazi wa Singida wakifurahia show