Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Sunday, September 22, 2013

HIVI NDIVYO REDDS MISS TANZANIA ILIVYOKUWA MLIMANI CITY JIJINI DAR ES SALAAM

Miss Dodoma na a Miss Kanda ya Kati, Happiness Watimanywa jana ameibuka na taji la Redd’s Miss Tanzania 2013 kwenye fainali zilizofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
DSC_6970
Mshindi wa taji la Redd’s Miss Tanzania 2013,Happiness Watimanywa akipunga mkono baada ya kutangazwa mshindi. Wengine kutoka kushoto ni mshindi wa pili,Latifa Mohamed na kulia ni mshindi wa tatu,Clara Bayo
DSC_6973
Washiriki wote wa Miss Tanzania 2013 wakiwa nyuma ya Happiness kupiga picha ya pamoja

DSC_6975
Picha ya pamoja
DSC_6976
Happiness akiwa na furaha kama jina lake
DSC_6984
Fact: Happiness Watimanywa, aliwahi kuwa msichana pekee kutoka Tanzania aliyeweka historia ya kuongoza nchi zaidi ya 150 za mtandao wa IGCSE katika somo la Uhasibu kwenye mitihani ya kidato cha nne mwaka 2010(Full Shangwe)
DSC_6986
Happy ni mzaliwa wa familia ya kawaida ya Mr Louis Roussos ya Morogoro. Wadogo zake Angel na Romeo sasa wanasoma St. Constantine shule iliyomtoa Happy
DSC_6994
Happiness akikabidhiwa funguo za gari yake
DSC_6995
Happiness akiwa amesimama mbele ya gari alilozawadiwa kama mshindi wa Miss Tanzania 2013
DSC_6998
Happiness akiwa amepozi mbele ya camera za waandishi wa habari na akijiandaa kuingia ndani ya gari alilozawadia
DSC_7002
Happy ndani ya gari lake
DSC_7003
Inawake kweli: Happiness akiliwasha gari lake
DSC_7010
Happiness akiwa kwenye picha ya pamoja na familia yake
DSC_6947
Warembo walioingia kwenye top 5 ya Miss Tanzania
DSC_6948
Top 5
DSC_6951
Matokeo yakitangazwa
DSC_6959
Happiness akivishwa crown ya Miss Tanzania 2013
Faraja Kotta nae alikuwa mmoja wa majaji
Faraja Kotta(kushoto) alikuwa miongoni mwa majaji wa Miss Tanzania 2013
Happyness akiwa na Familia yake
Familia: Happiness Watimanywa amewahi kusoma Laureatte International School ya Dar-es-salaam, ambapo akiwa hapo, alikutana na mwalimu wa michezo Mr Tchalewa Ndeki ambaye alimfungulia mipaka mingi
Happyness Watimanywa akiwa na wazazi wake katika picha ya pamoja
Happiness Watimanywa akiwa na wazazi wake katika picha ya pamoja
Wazazi wa Miss Tanzania Happyness
Wazazi wa Miss Tanzania Happiness
Mshindi wa Miss Tanzania 2013 Happyness Watimanywa akiwa na Mama ake Mzazi
Happiness Watimanywa akiwa na Mama ake Mzazi
Hawa ndio walio fanikiwa kuingia Tano bora
Warembo waliofanikiwa kuingia tano bora
Hii ndo gari aliyo shinda Miss Tanzania
Hii ni gari aliyokabidhiwa Miss Tanzania 2013
Hii ndo ilikuwa Meza ya Majaji wa Miss Tanzania 2013
Meza ya Majaji wa Miss Tanzania 2013
Jacklin Ntuyabaliwe alikuwa mmoja wa majaji wa shindano la Miss Tanzania
Jacqueline Ntuyabaliwe alikuwa mmoja wa majaji wa shindano la Miss Tanzania 2013
Lady Jay alikuwepo kutoa show
Lady Jaydee akitoa burudani
Mc alikuwa Boby
Host wa Miss Tanzania 2013, Bobby akiwa kazini
Michael Rossi kutoka Unganda alifanya Show
Msanii wa Uganda, Michael Ross akitumbuiza
Warembo wakifungua show kwa burudani
Warembo wakifungua show kwa burudani
warembo wakitoa Show
Warembo wakitoa show
Warembo wakiwa katika Vazi la Ufukweni ambalo lilibuniwa na Veronika Rukenze
Warembo wakiwa katika Vazi la ufukweni lililobuniwa na Veronika Rukenze
Warembo wakiwa katika Vazi la Usiku
Warembo wa Miss Tanzania wakiwa katika vazi la usiku
DSC_6829
DSC_6841
DSC_6842
DSC_6844
DSC_6845
DSC_6848
DSC_6850
DSC_6852
DSC_6854
DSC_6859
DSC_6860
DSC_6861
DSC_6862
DSC_6863
DSC_6864
DSC_6867
DSC_6868
DSC_6870
DSC_6871
DSC_6872
DSC_6873
DSC_6874
DSC_6876
DSC_6877
DSC_6880
DSC_6881
DSC_6885
DSC_6886
DSC_6887
DSC_6888
DSC_6890
DSC_6897
DSC_6899
DSC_6902
DSC_6903
DSC_6905
DSC_6906
DSC_6916
DSC_6922
DSC_6923
DSC_6924
DSC_6942
DSC_6943
DSC_6945

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages