Miss Dodoma na a Miss Kanda ya Kati, Happiness Watimanywa jana ameibuka na taji la Redd’s Miss Tanzania 2013 kwenye fainali zilizofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa taji la Redd’s Miss Tanzania 2013,Happiness Watimanywa akipunga mkono baada ya kutangazwa mshindi. Wengine kutoka kushoto ni mshindi wa pili,Latifa Mohamed na kulia ni mshindi wa tatu,Clara Bayo
Washiriki wote wa Miss Tanzania 2013 wakiwa nyuma ya Happiness kupiga picha ya pamoja
Picha ya pamoja
Happiness akiwa na furaha kama jina lake
Fact: Happiness Watimanywa, aliwahi kuwa msichana pekee kutoka Tanzania aliyeweka historia ya kuongoza nchi zaidi ya 150 za mtandao wa IGCSE katika somo la Uhasibu kwenye mitihani ya kidato cha nne mwaka 2010(Full Shangwe)
Happy ni mzaliwa wa familia ya kawaida ya Mr Louis Roussos ya Morogoro. Wadogo zake Angel na Romeo sasa wanasoma St. Constantine shule iliyomtoa Happy
Happiness akikabidhiwa funguo za gari yake
Happiness akiwa amesimama mbele ya gari alilozawadiwa kama mshindi wa Miss Tanzania 2013
Happiness akiwa amepozi mbele ya camera za waandishi wa habari na akijiandaa kuingia ndani ya gari alilozawadia
Happy ndani ya gari lake
Inawake kweli: Happiness akiliwasha gari lake
Happiness akiwa kwenye picha ya pamoja na familia yake
Warembo walioingia kwenye top 5 ya Miss Tanzania
Top 5
Matokeo yakitangazwa
Happiness akivishwa crown ya Miss Tanzania 2013
Faraja Kotta(kushoto) alikuwa miongoni mwa majaji wa Miss Tanzania 2013
Familia: Happiness Watimanywa amewahi kusoma Laureatte International School ya Dar-es-salaam, ambapo akiwa hapo, alikutana na mwalimu wa michezo Mr Tchalewa Ndeki ambaye alimfungulia mipaka mingi
Happiness Watimanywa akiwa na wazazi wake katika picha ya pamoja
Wazazi wa Miss Tanzania Happiness
Happiness Watimanywa akiwa na Mama ake Mzazi
Warembo waliofanikiwa kuingia tano bora
Hii ni gari aliyokabidhiwa Miss Tanzania 2013
Meza ya Majaji wa Miss Tanzania 2013
Jacqueline Ntuyabaliwe alikuwa mmoja wa majaji wa shindano la Miss Tanzania 2013
Lady Jaydee akitoa burudani
Host wa Miss Tanzania 2013, Bobby akiwa kazini
Msanii wa Uganda, Michael Ross akitumbuiza
Warembo wakifungua show kwa burudani
Warembo wakitoa show
Warembo wakiwa katika Vazi la ufukweni lililobuniwa na Veronika Rukenze
Warembo wa Miss Tanzania wakiwa katika vazi la usiku
Post Top Ad
Your Ad Spot
Sunday, September 22, 2013
Home
Unlabelled
HIVI NDIVYO REDDS MISS TANZANIA ILIVYOKUWA MLIMANI CITY JIJINI DAR ES SALAAM
HIVI NDIVYO REDDS MISS TANZANIA ILIVYOKUWA MLIMANI CITY JIJINI DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment