Ndoa ya msanii wa bongo fleva Hamis Ramadhan aka H.Baba na mkewe Flora Mvungi imefanikiwa kupata mtoto wa kike waliyempa jina la ‘TANZANITE’.
Tanzanite
H.Baba ameiambia Bongo5 kuwa mkewe Flora amejifungua salama jana (September 11) majira ya saa 12.30 jioni katika hospitali ya Marie Stopes iliyopo Mwenge.
“Najiskia furaha sana kwasababu hii ndiyo mara ya kwanza naitwa baba, namshkuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunipa mtoto wa Kike ambaye tumemuita Tanzanite Hamis, nawashukuru wote pia ambao wametuombea dua” Alisema H.Baba
Bongo 5 inawapa hongera H-Baba na Flora kwa kupata mtoto.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Friday, September 13, 2013
Home
Unlabelled
HUYU NDIYE MTOTO WA H BABA NA FLORA MVUNGI ''TANZANITE''
HUYU NDIYE MTOTO WA H BABA NA FLORA MVUNGI ''TANZANITE''
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment