Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, September 2, 2013

PICHA: FLAVIANA MATATA AONEKANA KWENYE BANGO KUBWA LA KENNETH COLE NCHINI MAREKANI


Mrembo na mwanamitindo wa Tanzania Flaviana Matata aishiye nchini Marekani ameonekana katika moja ya mabango makubwa ya mbunifu wa mitindo wa Marekani Kenneth Cole (59) ikiwa ni sehemu ya dili mpya ya mrembo huyo kuonekana kwenye mabango ya matangazo nchini Marekani.
Hili ndio bango lenye picha ya mrembo Flaviana Matata lililoko New York, Marekani.
FlavianaLRG
Picha: Instagram: MariaSTsehai

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages