Msanii wa Ghana aishiye nchini Uingereza, Fuse ODG jana alifanikiwa kuwapa wakazi wa Dar es Salaam mzuka wa Azonto kwa kuangusha show ya kihistoria. Fuse ODG alisindikizwa na orodha kubwa ya wasanii wa Tanzania waliomsaidia kufanikisha show hiyo iliyofana na iliyokuwa na nyomi ya kufa mtu. Tazama picha namna mambo yalivyokuwa.
“Baunsa nae alichezeshwa Azonto
Fuse ODG akichezeshwa kiduku na mmoja wa mashabiki waliopanda kucheza nae
Fuse ODG akifundisha mashabiki waliopanda jukwaani kucheza Azonto
Fuse ODG
Gadna G Habash, MC wa shughuli nzima
Aika na Nah Real wakiwakilisha kundi lao, Navy Kenzo
H-Baba akiwafanya yake
Magenge wakiwa na Dan Msimamo
Nuruel wa BBand alikuwepo
Snura alipiga bonge la show
Tunda Man
Vanessa Mdee akiwa na adancers wake Khadija na Asha
Vanessa akiwa stejini
Wakazi
Wasanii wa B Hitz
Banana Zoro akionyesha manjonjo yake
Nyomi
B-Band
M-Rap
Mabeste
Gosby
Vanessa Mdee na Gosby kwa mbali
Vanessa na Gosby jukwaani
Jux
Jux na Mabeste
Dj Choka
Mabeste na Gosby
Gosby, Pancho na M-Rap
Post Top Ad
Your Ad Spot
Sunday, September 8, 2013
Home
Unlabelled
PICHA:SHOW NZIMA YA FUSE ODG ILIYOFANYANYIKA VIWANJA VYA USTAWI WA JAMII - DAR ES SALAAM.
PICHA:SHOW NZIMA YA FUSE ODG ILIYOFANYANYIKA VIWANJA VYA USTAWI WA JAMII - DAR ES SALAAM.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment