WEMA SEPETU APATA SHAVU LA MTANDAO WA AIRTEL .TAZAMA HAPA.

Baada ya JB, Joti na mastaa wengine wa Tanzania kula mashavu ya matangazo ya mitandao ya simu, sasa ni zamu ya Wema Sepetu. Mrembo huyo amekula shavu la kutangaza promotion mpya ya mtandao wa simu wa Airtel.
1959253_755566541141773_1293465776012357318_n

Comments