Mr & Mrs West walifunga ndoa Jumamosi iliyopita (May 24) huko Florence, Italia na harusi yao kuhudhuriwa na ndugu pamoja na baadhi ya watu maarufu. Ripoti zinasema kuwa wazazi hao wa North kwa sasa wako Ireland kwenye fungate yao.
Juzi Kim alipost picha za kwanza za harusi yao na kuandika ‘Mr. & Mrs. Kanye West’ katika moja ya picha hizo.
No comments:
Post a Comment