Mwaka huu Coke Studio Africa imeamua kuchukua wasanii wengi zaidi nchini kushiriki kwenye kipindi hicho.
Shaa akiwa na Jackie
Baada ya Vanessa Mdee kuungana na msanii wa Nigeria, Burna Boy na Joh Makini kurekodi na Chidinma wa Nigeria, sasa ni zamu ya Shaa ambaye yupo Nairobi, Kenya kurekodi kwenye kipindi hicho na msanii wa Uganda, Jackie Chandiru.
“Ndani ya #CokeStudioAfrica wiki hii Malkia wa Uswazi nikiwa na @JackieChandiru #WanawakeOyeeee hahahah,” ameandika Shaa kwenye Twitter.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, July 29, 2014
Home
EVENTS
FASHION
LIFE OF CELEBRITIES
SASA ZAMU YA SHAA NDANI YA COKE STUDIO AFRICA, BAADA YA VANESSA MDEE NA JOHN MAKINI
SASA ZAMU YA SHAA NDANI YA COKE STUDIO AFRICA, BAADA YA VANESSA MDEE NA JOHN MAKINI
Tags
EVENTS#
FASHION#
LIFE OF CELEBRITIES#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
LIFE OF CELEBRITIES
Labels:
EVENTS,
FASHION,
LIFE OF CELEBRITIES
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment