Wasanii wa Nigeria wameendelea kumtafuta Diamond Platnumz kwaajili ya kumshirikisha kwenye nyimbo zao. Baada ya kushirikishwa na Waje na Dr Sid, msanii mwingine mkubwa anayetamba na nyimbo kama ‘Limpopo’ na ‘Pull Over’ KCEE ameomba kumshirikisha kwenye wimbo wake mpya.
“Kuna nyimbo nimefanya na KCEE wa ‘Limpopo’ ni nyimbo yake by the way ambayo naenda kurekodi sasa hivi” Diamond alikiambia kipindi cha Hitlist cha Choice FM Alhamis iliyopita. “Nina project nyingi sana hadi naogopa kuzisema nyingine kwasababu sijaruhusiwa,” aliongeza.
Mshindi huyo wa tuzo 7 za KTMA 2014, aliongeza kuwa kabla mwaka huu haujaishia, mashabiki wake wategemee kupata zawadi ya wimbo aliomshirikisha msanii mkubwa wa Marekani. “Wategemee pia collabo nyingi sio kutoka Afrika, kutoka nje ya Afrika kabla ya mwaka haujaisha,” alisema Diamond japo alikataa kusema ni msanii gani.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, August 5, 2014
Home
GOSSIP
LIFE OF CELEBRITIES
MUSIC
WHAT
DIAMOND PLATNUMZ ASHIRIKISHWA NA KCEE WA NIGERIA. SOMA ZAIDI HAPA.
DIAMOND PLATNUMZ ASHIRIKISHWA NA KCEE WA NIGERIA. SOMA ZAIDI HAPA.
Tags
GOSSIP#
LIFE OF CELEBRITIES#
MUSIC#
WHAT#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
WHAT
Labels:
GOSSIP,
LIFE OF CELEBRITIES,
MUSIC,
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment