AY ameungana wasanii wengine wakubwa barani Afrika jijini Washington DC, kwa mwaliko kutoka ikulu ya Marekani kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Marekani na Afrika utakaofanyika wiki hii.
AY akiwa White House
Wasanii hao ni sehemu ya wale walioshiriki kwenye mradi wa One Campaign. Wasanii wengine waliopo kwenye msafara huo ni pamoja na Femi Kuti, Owamumi na D’Banj wa Nigeria, wa Afrika Kusini na Fally Ipupa wa DRC, Victoria Kimani wa Kenya, watakaoungana na mchezaji Manchester City, Yaya Toure mjini Washington D.C. kuanzia August 4-7.
AY akiwa pamoja na Femi Kuti, Victoria Kimani na wengine
Rais Barack Obama atawakaribisha viongozi kutoka barani Afrika kwenye mji huo mkuu wa Marekani katika mkutano wa siku tatu. Huo ni mkutano mkubwa zaidi kuwahi kufanyika kati ya Rais wa Marekani na viongozi wakuu wa nchi mbalimbali za Afrika.
Kwenye ziara hiyo, wasanii hao watakutana na viongozi wa juu wa serikali Marekani, wajumbe wa taasisi ya Young African Leaders Initiative (YALI) na wajumbe wa Congress. Pia watatumbuiza siku ya August 4 ukiwemo wimbo wao wa ‘Cocoa Na Chocolate’.
D’Banj na AY
Post Top Ad
Your Ad Spot
Monday, August 4, 2014
Home
EVENTS
LIFE OF CELEBRITIES
WHAT
PICHA: AY AKIWA IKULU YA MAREKANI " WHITE HOUSE". SOMA ZAIDI HAPA.
PICHA: AY AKIWA IKULU YA MAREKANI " WHITE HOUSE". SOMA ZAIDI HAPA.
Tags
EVENTS#
LIFE OF CELEBRITIES#
WHAT#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
WHAT
Labels:
EVENTS,
LIFE OF CELEBRITIES,
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment