SOURCE : BONGO 5
Sio rahisi kuambiwa na meneja wa Trey Songz, Mariah Carey na Big Sean ‘nitafute ukipata nafasi’, kama hauna kitu cha maana unachoweza kufanya.
Lakini kwa Diamond hilo linawezekana. Muimbaji huyo wa ‘Mdogo Mdogo’ jana alifanikiwa kupata comment muhimu zaidi kwenye Instagram tangu ajiunge na mtandao huo baada ya aliyewahi kuwa makamu wa rais wa Def Jam Recordings, Kevin Liles na ambaye hivi karibuni alichukua nafasi ya Jermaine Dupri kama meneja wa Mariah Carey, kucomment kwenye picha ya Diamond.
“Great shot. Hit me when you get a chance,” aliandika Kevin kwenye picha ya Diamond (hiyo chini aliyoweka Instagram).
“l am grateful, lemmie do it ryt now boss,” alijibu Diamond.
Diamond Platnumz na Kevin Liles walikutanishwa na Rais Jakaya Kikwete mwezi June nchini Marekani
“Ilikuwa ni namna ya kuangalia nafanya vipi katika soko la Amerika na dunia nzima” Diamond aliimbia Bongo5 kuhusiana na kukutana na Kevin.
“So nilipokutana na mheshimiwa Rais akaniambia kitu gani unahitaji nikusaidie, nikamwambia connection, kila kitu ni connection njia ya kuweza kuingia katika soko la Amerika na dunia nzima, so akasema basi nitakukutanisha na mtu fulani ambaye naamini anaweza akakusaidia, so akamtafuta akampigia simu nikaonana naye(Kevin Liles)”.
Katika hatua nyingine mshindi huyo wa tuzo 7 za KTMA 2014, aliiambia Choice FM mwanzoni mwa mwezi huu kuwa mashabiki wake wategemee kupata zawadi ya wimbo aliomshirikisha msanii mkubwa wa Marekani. “Wategemee pia collabo nyingi sio kutoka Afrika, kutoka nje ya Afrika kabla ya mwaka haujaisha,” alisema Diamond japo alikataa kusema ni msanii gani.
Hivyo mawasiliano na Kevin Liles yanatoa dalili kuwa collabo hiyo inaweza kuwa kati yake na Trey Songz ama msanii mwingine anayesimamiwa na nguli huyo.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, August 19, 2014
Home
GOSSIP
LIFE OF CELEBRITIES
WHAT
SOMA HAPA: ALICHOAMBIWA DIAMOND NA MENEJA WA TREY SONG "KEVIN LILES"
SOMA HAPA: ALICHOAMBIWA DIAMOND NA MENEJA WA TREY SONG "KEVIN LILES"
Tags
GOSSIP#
LIFE OF CELEBRITIES#
WHAT#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
WHAT
Labels:
GOSSIP,
LIFE OF CELEBRITIES,
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment