Beyonce, Jay Z na binti yao Blue Ivy au waite The Carters, Jumapili (Agosti 24) kwenye tuzo za MTV VMA wameendelea kuthibitisha kuwa ni ‘happy family’ licha ya ripoti mbalimbali ambazo zimeendelea kutolewa kuhusu matatizo ya ndoa yao.
Beyonce alishinda tuzo ya ‘Michael Jackson Video Vanguard Award’ kwenye tuzo za MTV VMA 2014.
Lakini kubwa zaidi ni pale ambapo familia yake Jay Z na binti yao Blue Ivy waliopanda jukwaani na kumkabidhi (mke/mama) tuzo hiyo, kisha baba na mama wakapeana busu jukwaani. Queen Bey aliipokea tuzo hiyo akitoa machozi.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Monday, August 25, 2014
Home
EVENTS
FASHION
LIFE OF CELEBRITIES
WHAT
WALICHOKIFANYA JAYZ NA BEYONCE KUDHIHIRISHA KUWA NDOA YAO HAIVUNJIKI, JANA KWENYE TUZO ZA MTV VIDEO JAZAMA.
WALICHOKIFANYA JAYZ NA BEYONCE KUDHIHIRISHA KUWA NDOA YAO HAIVUNJIKI, JANA KWENYE TUZO ZA MTV VIDEO JAZAMA.
Tags
EVENTS#
FASHION#
LIFE OF CELEBRITIES#
WHAT#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
WHAT
Labels:
EVENTS,
FASHION,
LIFE OF CELEBRITIES,
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment