Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, November 21, 2014

ALICHOKISEMA DIAMOND PLATNUMZ NDANI YA "LEO TENA" KAMA WAMEACHANA NA WEMA AU LAAH!!. SOMA HAPA.

Wakati akiachia ngoma yake mpya ‘Ntampata Wapi’, Diamond Platnumz ameendelea kuteka vichwa vya habari kuhusiana na tetesi kuwa wameachana tena na mpenzi wake, Wema Sepetu.
wpid-wema-akiwa-pembeni-kumsupport-diamond1.jpg
Akiongea kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM leo, Diamond alionekana kutokuwa tayari kuzungumza ukweli wa jambo hilo licha ya watangazaji wa kipindi hicho kumbana.
“Kuna vitu fulani vinapokuja kuhusu mapenzi sometimes inakuwa sio vizuri kuvi.. kuna vingine vinafaa kwenda kwenye media, vingine vinakuwa havifai,” amesema.
“Kuna kitu unaniuliza nashindwa kukiongea straight kwasababu hakijafika wakati wa kwenda kwenye media so kuzungumza inaweza ikatengeneza maana mbaya. Vitu vingi sana vinaandikwa, navisoma lakini mimi na yeye ndio tunaujua ukweli uko wapi. Ikifika muda wa kuweka wazi tutaweka wazi.”

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages