Wakati akiachia ngoma yake mpya ‘Ntampata Wapi’, Diamond Platnumz ameendelea kuteka vichwa vya habari kuhusiana na tetesi kuwa wameachana tena na mpenzi wake, Wema Sepetu.
Akiongea kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM leo, Diamond alionekana kutokuwa tayari kuzungumza ukweli wa jambo hilo licha ya watangazaji wa kipindi hicho kumbana.
“Kuna vitu fulani vinapokuja kuhusu mapenzi sometimes inakuwa sio vizuri kuvi.. kuna vingine vinafaa kwenda kwenye media, vingine vinakuwa havifai,” amesema.
“Kuna kitu unaniuliza nashindwa kukiongea straight kwasababu hakijafika wakati wa kwenda kwenye media so kuzungumza inaweza ikatengeneza maana mbaya. Vitu vingi sana vinaandikwa, navisoma lakini mimi na yeye ndio tunaujua ukweli uko wapi. Ikifika muda wa kuweka wazi tutaweka wazi.”
Post Top Ad
Your Ad Spot
Friday, November 21, 2014
Home
GOSSIP
LIFE OF CELEBRITIES
WHAT
ALICHOKISEMA DIAMOND PLATNUMZ NDANI YA "LEO TENA" KAMA WAMEACHANA NA WEMA AU LAAH!!. SOMA HAPA.
ALICHOKISEMA DIAMOND PLATNUMZ NDANI YA "LEO TENA" KAMA WAMEACHANA NA WEMA AU LAAH!!. SOMA HAPA.
Tags
GOSSIP#
LIFE OF CELEBRITIES#
WHAT#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
WHAT
Labels:
GOSSIP,
LIFE OF CELEBRITIES,
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment