wizkhalifa ambaye mawe talakana na mpenzi wake amberose, wawili hao
wamekuwa hawaishiwi visa kwa kurushiana vijembe mitandaoni hivi karibuni
wizkhalifa alipiga picha akiwa na mwanamke katika kochi huku wiz akiwa
na nguo ya ndani "boxer" na mwanamke huyo akiwa ameonekana baadhi ya
picha akiwa ni mtupu aliyeficha matiti yake kwa mkono kiasi cha kufanya
picha hizo kupewa jina la BREAK THE INTERNET hashtag iliyompa umaarufu
kim kardashian
wiz khalifa akiwa na mwanamke huyo
mmmh!!
baada ya amderose kuona picha za ex wake huyo naye ameamua kupose picha za midume miwili ktandani kiasi cha kumzidi hata mumewake huku baadhi ya picha zikionesha wakiwa katika swimming pool
No comments:
Post a Comment