Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, December 30, 2014

AMBEROSE APIGA PICHA ZA MAHABA AKIWA NA MIDUME MIWILI KITANDANI,. BAADA YA WIZ KHALIFA KUPIGA PICHA ZA UTUPU NA MWANAMKE MWINGINE.

wizkhalifa ambaye mawe talakana na mpenzi wake amberose, wawili hao wamekuwa hawaishiwi visa kwa kurushiana vijembe mitandaoni hivi karibuni wizkhalifa alipiga picha akiwa na mwanamke katika kochi huku wiz akiwa na nguo ya ndani "boxer" na mwanamke huyo akiwa ameonekana baadhi ya picha akiwa ni mtupu aliyeficha matiti yake kwa mkono kiasi cha kufanya picha hizo kupewa jina la BREAK THE INTERNET hashtag iliyompa umaarufu kim kardashian

 wiz khalifa akiwa na mwanamke huyo
mmmh!!


 baada ya amderose kuona picha za ex wake huyo naye ameamua kupose picha za midume miwili ktandani kiasi cha kumzidi hata mumewake huku baadhi ya picha zikionesha wakiwa katika swimming pool



No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages