Aliyekuwa boyfriend wa Nicki Minaj ameumizwa na kitendo cha kupigwa kibuti kiasi kwamba anafikiria kujiua.
Safaree anawaambia washkaji zake kuwa hawezi kumpata tena Nicki kwasababu ana uhusiano na Meek Mill. Anasema hiyo ni adhabu kwake kwakuwa anaamini Meek Mill ndiye aliyemharibia kwa Nicki kwa kwa madai ya uongo kuwa alimsaliti.
Marafiki zake wamesema wanahofia kuwa hivyo si vitisho vya kupuuzia.
Comments
Post a Comment