Udaku Special Blog
MPENZI wa nguli wa Muziki wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond
Platnumz', Zarinah Hassan 'Zari the Boss Lady' ameamua kutupia picha ya
mrembo aliyejichora jina la Diamond kwenye ziwa 'nido' lake la
kushoto...
Zari ameamua kutupia picha hiyo kwenye akaunti yake ya Instagram
akionyesha kuwa mpenzi wake anakubalika vilivyo miongoni mwa warembo.
Wengi wa mashabiki wa Zari the Boss Lady wameonekana kuvutiwa na picha
hiyo na kitendo cha mrembo huyo kuamua kuachia picha hiyo ila Kwenye
Caption ya Picha hiyo Amemuonya kwa Kumwambia "Lolz he is Taken though"
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, February 10, 2015
Home
GOSSIP
LIFE OF CELEBRITIES
WHAT
ZARI APOST PICHA YA MWANAMKE ALIYEJICHORA JINA LA DIAMOND KWENYE ZIWA NA KUMUONYA.
ZARI APOST PICHA YA MWANAMKE ALIYEJICHORA JINA LA DIAMOND KWENYE ZIWA NA KUMUONYA.
Tags
GOSSIP#
LIFE OF CELEBRITIES#
WHAT#
Share This
About DARVEL LAMAR BLOG
WHAT
Labels:
GOSSIP,
LIFE OF CELEBRITIES,
WHAT
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment