Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Friday, August 16, 2019

KIFO CHA MBALAMWEZI CHAZIDI KUZUA UTATA BAADA YA KUKUTWA HANA NGUO.


Mjomba wa marehemu Mbalamwezi ambaye ni msanii wa The Mafik amedai taarifa alizoletewa na ndugu wa karibu wa msanii huyo ni kwamba mwili wa marehemu uliokotwa mitaa ya Afrikana ukiwa hauna nguo baada ya muimbaji huyo kutafuta kwa siku moja bila mafanikio yoyote.





No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages