FEZA azidi kupeta mjengoni....
Mtanzania FEZA amenusurika kutoka katika jumba la biggie baada ya kuwa
up for possible eviction kufuatia kuwekwa kitanzini (nominated) Jumatatu
iliyopita...
Koketso mshiriki kutoka South Africa na LK4 ambaye ni
mshiriki kutoka Uganda wamekuwa washiriki wa tatu na wa nne kutoka
katika jumba la Big Brother Africa baada ya Denzel na Huddah kuyaaga
mashindano wiki iliyopita..
Here is how Africa voted this week (9 June 2013) – We say goodbye to LK4 (Uganda) and Koketso (South Africa).
Here's who which country voted for:
Angola: Koketso
Botswana: Hakeem
Ghana: Feza
Kenya: Hakeem
Ethiopia: Dillish
Malawi: Hakeem
Namibia: Dillish
Nigeria: Dillish
South Africa: Koketso
Sierra Leone: Feza
Tanzania: Feza
Uganda: LK4
Zambia: Hakeem
Zimbabwe: Hakeem
Rest of Africa: Hakeem
Total: Hakeem = 6; Feza = 3; Dillish =3, Koketso = 2, LK4 = 1. (
Total: 15 Votes)