Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Sunday, June 9, 2013

BIG BROTHER:FEZA ANUSURIKA KUYAAGA MASHINDANO,ANGALIA ALIVYOPIGIWA KURA,NA HAWA NDIO WALIOTOKA

FEZA azidi kupeta mjengoni....

Mtanzania FEZA amenusurika kutoka katika jumba la biggie baada ya kuwa up for possible eviction kufuatia kuwekwa kitanzini (nominated) Jumatatu iliyopita... 
Koketso mshiriki kutoka South Africa na LK4 ambaye ni mshiriki kutoka Uganda wamekuwa washiriki wa tatu na wa nne kutoka katika jumba la Big Brother Africa baada ya Denzel na Huddah kuyaaga mashindano  wiki  iliyopita..
News: How Africa Voted
Here is how Africa voted this week (9 June 2013) – We say goodbye to LK4 (Uganda) and Koketso (South Africa).

Here's who which country voted for:

Angola: Koketso
Botswana: Hakeem
Ghana: Feza
Kenya: Hakeem
Ethiopia: Dillish
Malawi: Hakeem
Namibia: Dillish
Nigeria: Dillish
South Africa: Koketso
Sierra Leone: Feza
Tanzania: Feza
Uganda: LK4
Zambia: Hakeem
Zimbabwe: Hakeem
Rest of Africa: Hakeem

Total: Hakeem = 6; Feza = 3; Dillish =3, Koketso = 2, LK4 = 1. (Total: 15 Votes)

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages