Nguli wa muziki Tanzania, Lady JayDee aka Anaconda, usiku wa kuamkia Leo alipiga show kali na ya kipekee katika kutimiza miaka kumi na tatu katika tasnia ya muziki Tanzania.
Ilikua ni usiku muhimu na uliofana kwa namna yake ambapo, Jide alisindikizwa na wanafamilia, wasanii wenzake pamoja na mafans wa kumwaga.
Cheki picha jinsi tukio lilivyoenda.
Wadau wa muziki wakiwa ndani ya Nyumbani Lounge
Sinta akiwa na rafiki yake
Kutoka kushoto K.R,Sugu,Juma Nature na madau wa muziki
Kutoka kulia Proffesor Jay,K.R,Sugu na Juma Nature
Wasanii wa tasinia ya filamu Tanzania kutoka kulia J.B,Rich na Ray
Wadau wa muziki wakimshangilia Lady Jay Dee
Jay dee akiwa amemkumbatia kaka yake
Watatu kutoka kushoto ni mama wa Jay Dee na kulia ni mama yake mdogo
Mwigizaji wa filamu Tanzania Sandra
Sugu akifanya mambo kwenye steji
Sugu na Jay Dee wakiwa pamoja stejini
Juma Nature akifanya mambo kwenye steji
Kutoka kushoto Juma Nature,M2 the P na Mkoloni
T.m.k wanaume akifanya makamuzi
Show ya kucheza na nyoka
Dullah
Mzee kalala akiwa na mke wake
Watu wakicheza muziki
Mambo yameiva, ni muziki kwenda mbele tu
Jay Dee akizawadiwa pesa
Watu walioudhiria katika show ya kutimiza miaka 13 ya Lady Jay Dee
Proffesor Jay akiimba na mashabiki
Wakazi akiwa stejini na Mwinyi wa Machozi Band
Sugu akiwa na mama watoto wake,Faidha
Mwinyi wa machozi band akiwa na rafiki yake wa karibu
Jay Dee katika pozi kabla ajaingia stejini
Post Top Ad
Your Ad Spot
Sunday, June 16, 2013
Home
Unlabelled
PICHA:SHOW NZIMA YA LADY JAY DEE ILIVYOKUWA NYUMBANI LOUNGE
PICHA:SHOW NZIMA YA LADY JAY DEE ILIVYOKUWA NYUMBANI LOUNGE
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.