Mtangazaji wa radio na TV (Choice FM na MTV Base) na muimbaji, Vanessa Mdee pamoja na muigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria, James Ikechukwu aka Jim Iyke watakuwa washereheshaji wa tuzo za AFDA (African Film Development Awards, 2013.
Tuzo hizo zitatolewa Jumamosi ya June 29 kwenye hoteli ya Kilimanjaro jijini Dar es Salaam ambapo kutakuwepo na tuzo 30 ikiwemo moja ya filamu za Kiswahili kama heshima ya Tanzania mwenyeji wa tuzo hizo mwaka huu.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Friday, June 14, 2013
Home
Unlabelled
VANESSA MDEE NA JIM IYKE KUHOST TUZO ZA AFDA 2013, JUNE 29 JIJINI DAR ES SALAAM
VANESSA MDEE NA JIM IYKE KUHOST TUZO ZA AFDA 2013, JUNE 29 JIJINI DAR ES SALAAM
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.