Huenda siku si nyingi tunaweza kuanza kuimba ‘mlisema haolewi mbona kaolewa’ baada ya Oneal kumtaka uchumba wa kweli kweli Feza Kessy.
Katika kazi waliyokuwa wamepewa kufanya mjengoni humo, Oneal aliamua kupiga magoti wakati akimwaga sera za nguvu kwa Feza na kumwambia kuwa maisha yake yalikuwa shagala bagala kabla hajakutana na mwakilishi huyo wa Tanzania.
Maneno hayo matamu yalimwingia vyema Feza ambaye alikuwa akitabasamu muda wote kuashiria upendo mzito kwa jamaa huyo wa Botswana ambaye anataka wawe na maisha pamoja siku za usoni.
Wasiriki wengine waliamka na kuwashangalia wapenzi hao kama yalivyo maisha ya kawaida. Kazi hiyo ilionekana kuchukua picha ya ukweli hasa kwa wale ambao wameyaweka wazi mahusiano yao.
Kumbuka Nando ni miongoni mwa washiriki waliotajwa kutoka wiki hii, mpigie kura kumuokoa.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, July 2, 2013
Home
Unlabelled
BIG BROTHER AFRICA:ONEAL AOMBA KUMCHUMBIA FEZA KIKWELIKWELI.
BIG BROTHER AFRICA:ONEAL AOMBA KUMCHUMBIA FEZA KIKWELIKWELI.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.