p>Inavyoonekana usalama ni jambo la muhimu zaidi kwa sasa kwa supa staa wa Barbados Rihanna ambaye ameprove hilo kupitia urembo wake wa masikioni kwa kuvaa hereni za dhahabu zenye muundo wa bastola…LOL
Jana (July 16) Rihanna aliingia katika hoteli ya 45 Park Lane huko Manchester wakati wa tour yake ya Diamonds inayoendelea akiwa na hereni hizo za gold zenye muonekano wa bastola.
Mara kadhaa hit maker wa ‘Diamonds’ Rihanna amekuwa akivaa nguo zenye picha ambazo huwa inaaminika anatuma ujumbe kwa mtu (Chris Brown) hasa unaohusiana na matatizo yake aliyokuwa nayo na aliyekuwa mpenzi wake Chris Brown, je unadhani hereni za bastola ni ujumbe wowote kwa Chris Brown au Karrueche Tran?.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Wednesday, July 17, 2013
Home
Unlabelled
PICHA: RIHANNA AVAA HERENI ZA BASTOLA .
PICHA: RIHANNA AVAA HERENI ZA BASTOLA .
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.