Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Sunday, August 4, 2013

FEZA AKATA TAMAA,..KUBAKI KATIKA JUMBA LA BIG BROTHER.

Feza Kessy ameonesha kukataa tamaa na uwezekano wa kupona panga la kesho kwenye eviction ya Big Brother Africa.
374442_500432656704965_690117850_n
Wakati akifua nguo zake bafuni, mrembo huyo alipewa kampani na Beverly na Elikem na kuwaambia kuwa haoni dalili kama ataukwepa msumeno wa kesho.
“Hakika, kama nitapona eviction ya Jumapili hii itakuwa ni miujiza tu,” alisema Feza.
“Ni ngumu kwa wapenzi kwenye nyumba hii. Angalia kilichotokea kwa LK4 na Koketso. Wote walitolewa usiki mmoja. Nadhani kitu kile kile kinaenda kutokea kwetu.”
Unahisi Feza anaweza kupona?

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages