Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, August 1, 2013

KANYE WEST ASAMEHEWA KESI YA KUMPIGA PAPARAZI


Msanii Kanye West aliyekuwa akikabiriwa na kesi ya kumpiga mpiga picha mwisho mwa wiki iliyopita huko Los Angeles, Marekani, mahakama imetupilia mbali mashtaka hayo kwa madai ya kwamba hakukua na ushahidi wa maelezo ya kutosha kuhusu kesi hiyo.
West alitakiwa alipe gharama za kumpiga mpiga picha huyo na kuharibu kamera ya mpiga picha huyo, hata ivyo Kanye alitamka kuwa yupo tayari kulipa kiasi chochote cha pesa ikiwa atalazimika kufanya hivyo.
Kwa mujibu wa chanzo chetu, kinasema Kanye angelazimika kulipa kiasi cha $ 250,000 kuhusiana na suala hilo....ni mkwanja mrefu japo Kanye mwenyewe alikuwa tayri kulikamilisha hilo.

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages