Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Tuesday, August 20, 2013

Mwana FA, Stamina, Diamond, Mwasiti na wengine 6 warekodi wimbo kuhamasisha matokeo mazuri shuleni ‘Tokomeza Zero’

Linex, Roma, Lina, Mwana FA, Mwasiti, Stamina, Diamond, Maunda Zorro, Peter Msechu, Keisha na Kala Jeremiah wamerekodi wimbo uitwao ‘Tokomeza Zero’ kuhamasisha matokea mazuri shuleni.


Wimbo huo umeandikwa na Lameck Ditto na kutayarishwa na Tudd Thomas kwenye studio yake, Tudd Thomas Production.
Akiongea na Bongo5, Mwasiti amesema wimbo huo umeandikwa kwa lengo la kuwahamasisha wanafunzi kuipenda shule.
“Hatutaki sifuri, tunataka usome, ukija kwenye sekta yoyote kufanya kazi uwe na elimu yako,” amesema.
“Na ndio maana kama umeona Tokomeza Zero ina wanamuziki wenye majina makubwa akina Diamond. Wana tamani kurudi shule. Wanaujua uchungu wa shule, kuna akina Mwana FA, akina Lina akina Roma.”
Msikilize zaidi hapa;

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages