Mashabiki walipelekwa na usafiri wa bure hadi kwenye uwanja wa ndege wa Harare na mabasi matatu, luxury coaches na malori wakiwa wamevaa kofia zenye jina la Pokello.
Aliyekuwa mshiriki mwenzake Hakeem Mandaza, maafisa wa mamlaka ya Utalii nchini (ZTA) na wengine walikuwa miongoni mwa watu waliojitokeza kumpokea.