Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, August 8, 2013

PICHA:DIAMOND ASHOOT TANGAZO LA COCACOLA

Ukimpigia simu na Diamond Platnumz na isipokelewe, usimind sana, sababu hafanyi makusudi, anakimbizana na schedule za kupiga hela tu.
b2944eee000a11e3bbe622000a9f1270_7
Baada ya jana Cocacola kumchukulia private jet toka Nairobi hadi Dar es Salaam, Bongo Flava Prince, Nasib ameingia mzigoni kushoot tangazo jipya la Cocacola. Kwenye picha za utengenezaji wa tangazo hilo alizoziweka kwenye Instagram, Diamond anaonekana akitembea huku akinywa soda hiyo.
e1e482d8000811e3a91a22000a9e089b_7

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages