Breaking

Post Top Ad

Your Ad Spot

Wednesday, September 4, 2013

BAADA YA POMBE YANGU KUFANYA VIZURI,MADEE ANAKUJA NA TEMA MATE TUWACHAPE.

Ni ukweli ulio wazi kuwa hit single ya ‘Sio Mimi’ au kwa jina lingine ‘Pombe Yangu’ ya Rais wa Manzese Madee kutoka Tip Top Connection ni miongoni mwa nyimbo za bongo fleva ambazo ni lazima uzisikie popote uendapo kama sio Radio zote, basi ni bar, club, kwenye bajaji na sehemu zote za burudani au kwenye TV, na Sasa anakuja na single nyingine ‘Tema Mate Tumchape’

Madee
Kupitia akaunti yake ya Instagram Madee ame-share cover ya single hiyo mpya iliyotengenezwa MJ Records.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages