Wiki iliyopita mshindi wa mwaka huu wa Big Brother Africa ‘The Chase’ Dillish Mathews kutoka Namibia alimfahamu baba yake mzazi ambaye ni raia wa Kenya baada ya mama yake kuthibitisha kuwa ndiye baba yake.
Dillish akiwa na baba yake Abdi Guyo
Baada ya Standard Media ya Kenya kufanya kazi ya kuwaunganisha baba Dillish aitwaye Abdi Guyo na mama yake Selma kwa njia ya mtandao baada ya kupotezana kwa miaka 23, Selma alimkaribisha ahudhurie birthday ya binti yake nchini Namibia ambayo ilikuwa jana (September 16).
“The dance with my dad was priceless”
Kupitia akaunti yake ya facebook Dillish ameshare picha za birthday yake akiwa na dad wake mkenya.
Post Top Ad
Your Ad Spot
Tuesday, September 17, 2013
Home
Unlabelled
DILISH AKUTANA NA BABA YAKE MZAZI,MKENYA KWA MARA YA KWANZA KATIKA BIRTHDAY YAKE JANA
DILISH AKUTANA NA BABA YAKE MZAZI,MKENYA KWA MARA YA KWANZA KATIKA BIRTHDAY YAKE JANA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
Author Details
Ut wisi enim ad minim veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat. Duis autem vel eum iriure dolor in hendrerit in vulputate velit esse molestie consequat.
No comments:
Post a Comment